Washirika Wetu
Kutana na wabia na wadau wetu muhimu wanaowezesha mfumo huu kufanya kazi kwa ufanisi.
NMB Bank
Masuala ya KibenkiBenki ya NMB inashughulikia masuala yote ya kibenki, kuwezesha malipo salama na ya uhakika ndani ya mfumo kwa madereva na wamiliki.
LATRA
Masuala ya UsafirishajiMamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) inashughulikia udhibiti wa usafirishaji na kuhakikisha sheria na kanuni zote zinafuatwa ipasavyo.
Polisi Tanzania
Sheria za Usalama BarabaraniJeshi la Polisi Tanzania, kupitia kikosi cha usalama barabarani, linasimamia sheria za udereva na usalama barabarani kwa ujumla wake.